UDAHILI WA AWAMU YA PILI KWA AMBAO HAWAKUCHAGULIWA KUJIUNGA NA ELIMU YA JUU MWISHO 10/10/2017
Tume ya vyuo vikuu Tanzania (TCU) inautangazia umma kuwa awamu ya kwanza ya udahili wa wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na masomo ya shahada za awali ulimalizika tar. 30/08/2017 na uhakiki wa majina ya waombaji wote walioomba kujiunga na vyuo vya Elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2017/18 tayari.
Hata hivyo kutokana na waombaji wengi kutochaguliwa kutokana na sababu mbalimbali tume imefungua awamu ya pili ya maombi kuanzia 4 hadi 10 octoba 2017.
Kusoma zaidi bofya HAPA
Hata hivyo kutokana na waombaji wengi kutochaguliwa kutokana na sababu mbalimbali tume imefungua awamu ya pili ya maombi kuanzia 4 hadi 10 octoba 2017.
Kusoma zaidi bofya HAPA
Comments
Post a Comment