MAELEZO YA KINA KUHUSU PLAN B YA SN DONATION PLATFORM
HABARI TENA MTU WANGU, LEO TUNAENDELEA NA PLAN B YA FURSA HII PENDWA YA KITANZANIA YA SN DONATION PLATFORM NIFUATILIE KWA UKARIBU MWANZO MPAKA MWISHO WA MAKALA HII NA UTAELEWA.
Utapata nafasi ya kuingia Plan B baada ya kuwa tayari umeanza na Plan A. Kumbe basi mwanachama ambaye amefika Plan B kapita madaraja yote matatu ya Plan A ndio akafika Plan B. Hapa katika Plan B ama kwa hakika pesa ni nyingi sana maana utajipatia mpaka Million Kumi kwa ule ule mtaji wako wa Tzs 6,000/= isipokuwa mafanikio yako ya haraka ni kuifanya familia yako kukua kwa kasi kwa kushirikiana nyote kwa pamoja.
Pia wapo wenye kuitambua kwa mapema zaidi fursa hii kuwa inamanufaa ambao sasa hujipandisha madaraja ya Plan A haraka kuwahi foleni ya Plan B. Hii haizuii wewe kuendelea kupokea michango yako ya Plan A bali itakupa nafasi nzuri zaidi ya kuwahi kupokea michango yako ya Plan B kwakua Plan B pesa zinapokelewa kwa foleni.
Ili uelewe Plan hii lazima usome kwanza Plan A: Kama haujasoma bado BOFYA HAPA
JINSI PLAN B INAVYOFANYA KAZI
Katika Plan B hautafuti watu isipokuwa mtaji wa watu unatokana na Plan A na hii ndio sababu kuu ya kila mwanachama kupita kwanza Plan A. Hapa watu hupangwa kwa foleni kulingana na nani kawahi kufika. Aliyewahi kufika Plan B atanufaika kwanza kabla ya aliyefuatiaKiasi cha kujiunga na Plan B ni Tzs 60,000/= ambayo itatokana na pesa ulizozipokea kutoka Plan A japo pia kwa wale wanaojipandisha madaraja kwaajili ya kuwahi foleni hawazuiliwi kutumia pesa zao na wakibakia kupokea pesa.
Utendaji kazi wa Plan B ni sawa kabisa na ule wa Plan A isipokuwa hapa watu hupangwa kwa foleni na ni kama ifuatavyo kupitia mfano huu.
MFANO: Watu 30 wameomba kuingia Plan B kwa wakati mmoja, foleni inapagwa kama ifuatavyo:
Wakwanza kuomba atawekwa juu ya wale waliofuatia kisha wapili, watatu na wanne kuomba wataelekezwa kutuma pesa kwa yule wakanza, halafu watano, wasita na wasaba wataelekezwa kutuma pesa kwa yule wapili na wanane, watisa na wakumi kuomba wataelekezwa kutuma pesa kwa yule watatu kuomba na kuendelea.
Huo ni mzunguko wa kwanza na unapokea Tzs 60,000/= kutoka kwa watu watatu ambapo ni jumla ya Tzs 180,000/= na mzunguko huu unaitwa Daraja C.
Hapa katika mzunguko wa kwanza ukishapokea michango ya watu wawili (Tzs 120,000/=) utatakiwa kutuma Tzs 90,000/= kwa mtu aliyejuu ya yule uliye mtumia Tzs 60,000/= yaani yule aliyetumiwa Tzs 60,000/= na yule uliyemtumia wewe Tzs 60,000/= ambaye kwa mfano wa kule Plan A ni babu yako na utaingia katika foleni ya mzunguiko wa pili ambayo sasa inaitwa Daraja B.
Katika Mzunguko wa kwanza faida yako ni Tzs 90,000/=
MZUNGUKO WA PILI (DARAJA B)
Katika Daraja B pia na wewe utapata nafasi ya kupokea pesa za mzunguko wa pili ambapo ni Tzs 90,000/= kutoka kwa watu 9. Hawa watu tisa watakuwa wale walio watumia Tzs 60,000/= wale watu wako watatu walio kutumia wewe Tzs 60,000/=, kwa mfano wa kule Plan A hawa ni wajukuu wako.Huo ni mzunguko wa pili na unapokea Tzs 90,000/= kutoka kwa watu tisa ambapo ni jumla ya Tzs 810,000/= na mzunguko huu unaitwa Daraja B.
Hapa katika mzunguko wa pili ukishapokea michango ya watu sita (Tzs 540,000/=) utatakiwa kuchangia Tzs 100,000/= kwaajili ya uendeshaji wa fursa hii na Tzs 400,000/= kwa mtu aliyejuu ya yule uliye mtumia Tzs 90,000/= na utaingia katika foleni ya mzunguiko wa tatu na wa mwisho katika Plan hii ambayo sasa inaitwa Daraja A.
Katika Mzunguko huu wa pili faida yako ni Tzs 310,000/=
MZUNGUKO WA TATU (DARAJA A)
Hapa katika Daraja A pia na wewe utapata nafasi ya kupokea pesa za mzunguko wa tatu ambapo ni Tzs 400,000/= kutoka kwa watu 27. Hawa watu 27 kwa mfano wa kule Plan A watakuwa vitukuu wako.Hizo Laki nne zote ishrini na saba za hapa katika mzunguko watatu utakuwa unaweka mfukoni tu yaani ni zako zote hakuna kupanda daraja lingine mpaka itakapo zinduliwa Plan nyingine. Kwahiyo katika daraja hili utapokea jumla ya shillingi Millioni kumi na laki nane.
MPANGO WA SNDP NI NINI?
Mpango wa SNDP ni kuhakikisha fursa hii inakuwa endelevu kwa kubuni Plan tofauti tofauti zitakazo kuwa na manufaa kwa kila atakaye kubali kuungana na jukwaa hili katika safari hii ya kuzifikia ndoto zetu. Kikubwa kinachohitajika katika safari yoyote ya mafanikio ni Uvumilivu. Hakuna safari ya mafanikio ya mteremko lazima pia kuwa na changamoto ambapo siku zote wapambanao na changamoto ndio washindi ila wazikimbiao changamoto huwa wanaishia kutapa tapa huku na hukukwani hawatapata sehemu yenye mteremko tu na ndio maana kauli mbiu ya SNDP ni JUHUDI NI DARAJA LA KUZIFIKIA NDOTO ZAKO.Asante kwa kusoma.
KWANINI UJINGE NA SN DONATION PLATFORM COOMING SOON...
JINSI YA KUJISAJILI BOFYA HAPA
KUJIUNGA NA KIKUNDI CHA WANACHAMA TELEGRAM BOFYA HAPA
KUJIUNGA NA CHANNEL YETU TELEGRAM BOFYA HAPA
Nimeielewa vzr sasa .regards
ReplyDeleteAbelpoehaeniKansas City Alexis Thomas https://wakelet.com/wake/ltuHrC55HipP0kQsE4Kjb
ReplyDeletexinpytingscob
niepecKmetge-Savannah Karen Carter Kerish Doctor
ReplyDeleteVMware Player
4K Video Downloader
dinoverwa