Posts

Showing posts from 2018

MAELEZO YA KINA KUHUSU PLAN B YA SN DONATION PLATFORM

Image
HABARI TENA MTU WANGU, LEO TUNAENDELEA NA PLAN B YA FURSA HII PENDWA YA KITANZANIA YA SN DONATION PLATFORM NIFUATILIE KWA UKARIBU MWANZO MPAKA MWISHO WA MAKALA HII NA UTAELEWA. Utapata nafasi ya kuingia Plan B baada ya kuwa tayari umeanza na Plan A. Kumbe basi mwanachama ambaye amefika Plan B kapita madaraja yote matatu ya Plan A ndio akafika Plan B. Hapa katika Plan B ama kwa hakika pesa ni nyingi sana maana utajipatia mpaka Million Kumi kwa ule ule mtaji wako wa Tzs 6,000/= isipokuwa mafanikio yako ya haraka ni kuifanya familia yako kukua kwa kasi kwa kushirikiana nyote kwa pamoja. Pia wapo wenye kuitambua kwa mapema zaidi fursa hii kuwa inamanufaa ambao sasa hujipandisha madaraja ya Plan A haraka kuwahi foleni ya Plan B. Hii haizuii wewe kuendelea kupokea michango yako ya Plan A bali itakupa nafasi nzuri zaidi ya kuwahi kupokea michango yako ya Plan B kwakua Plan B pesa zinapokelewa kwa foleni. Ili uelewe Plan hii lazima usome kwanza Plan A: Kama haujasoma bado BOFYA HAPA ...

MCHONGO WA PESA

Image
SN DONATION PLATFORM HABARI! NAOMBA MDA WAKO MCHACHE NIKUFAHAMISHE KUHUSU SN DONATION PLATFORM.          Ili kuwa mwanachama utafanya usajili ambapo wakati wa usajili utakutana na kipengele kinachokutaka kuweka CODE ya mtu aliyekushirikisha. Jaza CODE uliyopewa na mtu wako na kama haujashirikishwa na mtu basi jaza CODE hii SN0001 kwa Tanzania na hii SNK0002 kwa Kenya. Baada ya hapo utaelekezwa mahali pa kutuma pesa kulingana na CODE uliyoijaza. Kwa Tanzania ni Tzs 6,000/= na Kenya ni Ksh 400/=. Tuma pesa na jaza kumbukumbu namba. Baada ya hapo wasiliana na muhusika uliyemtumia pesa akutibitishe na baada ya yeye kukuthibitisha utaweza kuingia kwenye akaunti yako na utaikuta CODE yako humo. Baada ya kupata CODE ndio safari ya plan A inapoanzia. PLAN A Baada ya kupata CODE sasa hapo utakuwa Daraja C (Yakuti) na ndani ya wiki mbili utatakiwa kuwa umeshirikisha watu watatu watakao jiunga chini yako. ZINGATIA: Kila ulichofanya nd...

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2017 HAYA HAPA

Image
Hatimae matokeo ya kidato cha nne kutangazwa. Bofya mahali husika kutazama matokeo. JAN 30 Link 1: MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2017 JAN 30 Link 1: MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2017 JAN 30 Link 2: MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2017 JAN 30 Link 2: MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2017